MWENYE DEGREE 9 ACHUKUA FOMU YA USPIKA, NI MTUMISHI WA SERIKALI
Mchakato wa kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Uspika umeendelea leo January 11 ambapo miongoni mwa waliojitokeza kuchukua fomu hizo makao makuu ya CCM Dodoma ni Prof. Handley Mpoki Mafwenga ambaye ni mtumishi wa Serikali
via YouTube https://www.youtube.com/watch?v=wfeVNsMy3Ms
No comments:
Post a Comment
Thanks for foruming Projects